"Usichelewe"
— iliyoimbwa na Walter Chilambo
"Usichelewe" ni wimbo ulioimbwa kwenye mtanzania iliyotolewa mnamo 13 machi 2025 kwenye chaneli rasmi ya lebo ya rekodi - "Walter Chilambo". Gundua maelezo ya kipekee kuhusu "Usichelewe". Tafuta wimbo wa maneno wa Usichelewe, tafsiri, na ukweli wa wimbo. Mapato na Net Worth hukusanywa kwa ufadhili na vyanzo vingine kulingana na kipande cha habari kinachopatikana kwenye mtandao. Wimbo wa "Usichelewe" ulionekana mara ngapi katika chati za muziki zilizokusanywa? "Usichelewe" ni video ya muziki inayojulikana sana ambayo ilichukua nafasi katika chati maarufu, kama vile Nyimbo 100 Tanzania Bora, Nyimbo 40 mtanzania Bora, na zaidi.
|
Download New Songs
Listen & stream |
|

"Usichelewe" Ukweli
"Usichelewe" imefikia jumla ya mara ambazo zimetazamwa 188.8K na kupendwa 4.3K kwenye YouTube.
Wimbo umewasilishwa mnamo 13/03/2025 na ukatumia wiki 3 kwenye chati.
Jina asili la video ya muziki ni "WALTER CHILAMBO - USICHELEWE (OFFICIAL VIDEO) SMS 'SKIZA 8021267' TO 811".
"Usichelewe" imechapishwa kwenye Youtube saa 13/03/2025 09:00:06.
"Usichelewe" Nyimbo, Watunzi, Lebo ya Rekodi
#WalterChilambo #Usichelewe #Wachi
In "Usichelewe," Walter Chilambo shares with you a heartfelt and powerful message about the struggles we face when dealing with depression, hopelessness, and the harsh realities of life.
This song speaks directly to anyone who's ever felt like the weight of the world is too much to bear — a reminder that you're not alone but God (JESUS) is with you in every Situation you are passing
;Don't Give up, keep God First in everything you do.
Stream & Download USICHELEWE on All Digital Platforms:
Stay Connected with Walter Chilambo on Social Media:
INSTAGRAM:
TIKTOK:
Song: Usichelewe
Song written by: Walter Chilambo
Audio Produced by Foxx Made it
Mixing and Mastering by WACHI
Artwork designed by AP Creative
Video Directed by Mphuru (Vivid)
USICHELEWE LYRICS:
Aaaah .......Walter tenaaa
Verse 1
Mungu wangu,
naomba niongee na wewe
Hata kidogo
Nasikia uchungu ndani ya Moyo
Mambo yamekuwa mazito
Na siwezi peke yangu
Naona maumivu ndani ya moyo
Na umesema walipo wawili wewe upo
Najiuliza nikiwa peke yangu je we upo?
Ni kweli na imani
Lakini kuna muda nachoka
Na si kwamba sikuamini
Nakuamini sanaa
HOOK
Nimeomba,nimefunga na nimetoa sadaka
Ila mambo yanayumba,fanya hima uje haraka
Bridge
Basi uniambie mi (Ni wapi nakosea)
Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)
Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)
Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuomba
CHORUS
( nachoka, nachoka )
( Tazama Moyo umechoka )
( Nitangoja, ntangoja )
( Mi mwanao bado ntangoja )
VERSE 2
Wenzangu wana MARAFIKI
Wa kuwaambia shida zao
Na mimi we ndio wangu RAFIKI
Ninakuambia haja zangu
Utanibariki mjini na mashambani
Niingiapo na nitokapo nitabarikiwa
Fedha na dhahabu vyote ni mali yako
Nikiomba utanipa zaidi ya niombavyo
HOOK
Nimeomba,nimefunga na nimetoa sadaka
Ila mambo yanayumba,fanya hima uje haraka
Bridge
Basi uniambie mi (Ni wapi nakosea)
Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)
Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)
Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuomba
CHORUS
( nachoka,nachoka )
( Tazama Moyo umechoka )
( Nitangoja ,ntangoja )
( Mi mwanao bado ntangoja )
All rights reserved by Walter Chilambo ©2025