Maandishi Na Tafsiri - Sovereign
— iliyoimbwa na Ding Dong
"Sovereign" maneno na tafsiri. Gundua ni nani aliyeandika wimbo huu. Tafuta ni nani mtayarishaji na muongozaji wa video hii ya muziki. "Sovereign" mtunzi, nyimbo, mpangilio, majukwaa ya utiririshaji, na kadhalika. "Sovereign" ni wimbo ulioimbwa kwenye kiingereza. "Sovereign" inaimbwa na Ding Dong
|
Download New Songs
Listen & stream |
|

"Sovereign" Maneno ya Nyimbo
"Sovereign" ina maneno katika lugha kiingereza.
Insta - Sovereign Ke
Facebook - Sovereign Ke
DM for bookings.
Director - Steve Mugo, Ambition Media House
Audio - Saint P
Hair - Mwangiz Beauty Parlour
Styling - Lovis Colection /The Reverend Dad
Executive Production - The Noah Initiative
DING DONG (SPEAK IN TONGUES)
Chorus
Yes we can, zikishika sana, speak in tongues
Akikubariki we give thanks,
Akibisha mlangoo,
ding ding dong ding dong ding ding dong.
Verse 1
Ni asubuhi manze na umekosa bread give thanks,
Si ndege hawapandi, hawavuni, na hufeed,
Read John
, ‘i’m the bread of life’ yaani ashaprovide,
Jesus alifeed watu thao five, two fish na mikate five,
Then zikabaki vikapu twelve, so ka unaamini basi nipe high five,
God the Father hajawai fail muite jina lake na atajiavail,
We jipe hope kwake utaprevail, uko in pain but keep on praying,
Kwani hujui end game ni kugain,
Wakikuonea we jua umechachisha wakigumoea zidi ng’ang’ana kabisa,
One day kua sure atabisha.
Chorus
Verse 2
First of all nimeokoka kitu me nangoja ni kuomoka,
Nalala, naota, na nimekopa nilikuanga msoto nikazitoka,
mbogi yote ishikane injili yake itangazwe,
baraka ishuke, ya watu wote, daktari makanga dunia yote,
kama judas sitakusaliti shilingi thirty hio me staki,
naomba ghetto isonge nawe, tukisanitize na neno lake,
ayaya, mambo haiendi, nikona advice for you,
keti kwa kiti uanze kumedy usare upedi uthegi uache,
ufanye kajara upate masenti uende kanisa usifu Mwokozi.
Chorus
Verse 3
ati we ni tasa ebu kumbuka Sarah si alivumilia na mtoto akapata,
God anakuown atakaa umeparara umechafua soul ye ndo barabara,
Sitaki kutesa watoto wa Mungu,
Kama cadinezzer kuchana siwezani,
Najituma kwa mguu kama Jonah sitaki kua swallowed,
Eeii mbona mambo iendii bila Yesu si buda umekwama ,
Time mob kwa magoti ndio uspeend utadishi na kispade,
Chorus
Outro
Aki gaki za shetani ni matrailer, Mungu ndiye anapeana zote woii,
usichoke kuamini daily bwooy, hapa maombi ndio siri aiiii.
X2
English Translation
Yoh yoh yoh, Group from Church.
Chorus
Yes we can, if it really gets you, speak in tongues,
If it blesses you, give thanks,
If he knocks the door,
Ding ding dong ding dong ding ding dong.
Verse 1
Even if its morning and you don’t have bread give thanks,
Even the birds don’t plant or harvest but they still eat,
Read John
I’m the bread of life, he has already provided,
Jesus fed the 5000 with 2 fish and 5 loaves of bread,
Then it remained 12 baskets,
So if you believe, then give me a high five,
God the Father has never failed, call His name and he will be there,
Put your hope in Him and you will prevail,
You are in pain but keep on praying,
Don’t you know in the end you will gain,
If they pick on you know that you are doing better,
If they bully you, keep on pushing,
One day be sure, He will break through for you.
Chorus
Verse 2
First of all, I am saved, the thing I waiting for is to make it,
I sleep, I dream, even though I took a loan,
I was broke but now I am not,
Let’s all come together, the gospel should be spread, his blessing are for everyone,
Doctors, Labourers, the whole world,
Unlike Judas I won’t betray you,
I don’t want 30 bob,
I am praying the ghetto moves with God, We will be cleaned by his word,
Ayayaya, things don’t move,
I have advice for you, sit on the seat, start to meditate, leave crime, don’t be a thug, get a job, to make a living, go to church, praise the King,
Verse 3
If you are barren, remember Sara, she persevered and had a baby,
God loves you even if life has been hard on you,
Your sole has been tarnished but He is the way,
You don’t want to mess with the children of God,
I can’t eat grass like Nebuchadnezzar,
You can send me, I don’t want to be swallowed like Jonah,
Why are things not working out? Brother without Jesus you are stuck,
Spend time on your knees,
You’ll eat and with the biggest spoon.
Outro
Everything the devil tells you is wrong, God is the only way, don’t get tired of believing, prayer is the only way.
#Gospelmusic #Kenyamusic #latestmusic